Middlecharz Sports INFO

CAF WATOA ONYO KWA AL HILALKlabu ya Al Hilal imepewa onyo kutoka shirikisho la mpira wa miguu Afrika CAF kuwa wawe makin...
11/10/2022

CAF WATOA ONYO KWA AL HILAL

Klabu ya Al Hilal imepewa onyo kutoka shirikisho la mpira wa miguu Afrika CAF kuwa wawe makini na mashabiki wao katika mechi za klabu bingwa dhidi ya vitendo vya vurugu uwanjani pale Hilal wanapokuwa nyumbani.

Hili limekuja baada ya mashabiki kufanya vurugu na kuonyesha tabia zisizokuwa za kimpira katika mchezo wa kwanza wa Al Hilal dhidi ya St.George baada ya Hilal kufunga goli na kufanikiwa kufuzu hatua hii ya pili.

Ikiwa Al Hilal watashindwa kutimiza onyo hilo watakutana na adhabu ya faini au kufungiwa kushiriki michuano hiyo kwa mujibu wa kanuni na sheria za uendeshaji wa michezo inayosimamiwa na shirikisho hilo la mpira Afrika.

✍️Middlecharz Sports INFO

🔎Mickyjnr

"... Issue sio mashabiki kwenda kwa wingi uwanjani dhidi ya Al Hilal...issue ni kwamba watashangilia kwa nguvu kwa dakik...
04/10/2022

"... Issue sio mashabiki kwenda kwa wingi uwanjani dhidi ya Al Hilal...issue ni kwamba watashangilia kwa nguvu kwa dakika zote? Watawafanya wageni wajione wapo katika mazingira magumu??....maana sisi tuna tabia ya kushangilia tobo na chenga kisha tunakaa chini tunasubiri bao. Baadaye tunapiga kelele za kutaka kocha afanye sub.....wenzetu nje huko wanashangilia dakika zote hata k**a mgeni kapata bao la kuongoza.....nimewahi kuona hapa Mazembe na Al Ahly wakija na fans wachache lakini wanauteka uwanja mzima wa Taifa"

🔎Edo Kumwembe

BADO SIKU 5.De Agosto Vs.Simba 🦁Mara ya mwisho Primeiro De Agosto kuingia makundi ya Champions league ilikuwa ni msimu w...
04/10/2022

BADO SIKU 5.
De Agosto Vs.Simba 🦁

Mara ya mwisho Primeiro De Agosto kuingia makundi ya Champions league ilikuwa ni msimu wa mwaka 2019/20.

✍️Walipangwa kundi moja na Mazembe, Zamalek na Zesco Utd na walifanikiwa kushika nafasi ya tatu baada ya kufikisha alama 4.


Follow,Share pia page ipate wafuasi wengi na izidi kukua👇👇👇

Middlecharz Sports INFO

Klabu ya Zamalek 🇪🇬 wamepata ridhaa kutoka CAF ya kucheza mechi zao zote mbili za klabu bingwa ya mzunguko wa pili hatua...
02/10/2022

Klabu ya Zamalek 🇪🇬 wamepata ridhaa kutoka CAF ya kucheza mechi zao zote mbili za klabu bingwa ya mzunguko wa pili hatua ya awali dhidi ya mabingwa wa Burundi Flambeau du Centre 🇧🇮.

Mechi zote zitapigwa katika uwanja wa Borg El Arab Stadium Alexandria misri🇪🇬

🔎 Middlecharz Sports INFO

Eti hamtaki kufanya kazi mnasubiria mkeka🙄🙄🙄Fungua comment kujua zaidi🤭🤗🤗🤗
30/09/2022

Eti hamtaki kufanya kazi mnasubiria mkeka🙄🙄🙄

Fungua comment kujua zaidi🤭🤗🤗🤗

THAMANI YA MKATABA“Mkataba wetu unathamani ya Tsh milion 120 sawa na milion 10 kwa mwezi. Vile vile watercom watatoa lit...
30/09/2022

THAMANI YA MKATABA

“Mkataba wetu unathamani ya Tsh milion 120 sawa na milion 10 kwa mwezi. Vile vile watercom watatoa lita 1500 kwa klabu yetu kila mwezi”

Eng.Hersi

Timu ya  leo imeingia mkataba na Kampuni ya Watercom k**a mdhamini/mshirika wetu kupitia kinywaji chao cha Jembe Energy ...
30/09/2022

Timu ya leo imeingia mkataba na Kampuni ya Watercom k**a mdhamini/mshirika wetu kupitia kinywaji chao cha Jembe Energy kwa kipindi cha mwaka mmoja.

"Leo ni siku muhimu sana kwetu kwenye maendeleo ya mpira. Ninajivunia kuona nasaini mkataba mpya kwa niaba ya Klabu. Hii ni hatua kubwa sana na inaonesha kwa jinsi gani klabu hii imejipanga kuboresha masuala ya kiuchumi” Andre Mtine Mtendaji mkuu Young Africans SC

✍️Middlecharz Sports INFO

"Jumatatu tutakuwa tunaongoza Ligi.Msimu huu tumedhamiria Kuwa Mabingwa na tunataka kuwa sehemu ya historia ya Nchi hii ...
30/09/2022

"Jumatatu tutakuwa tunaongoza Ligi.Msimu huu tumedhamiria Kuwa Mabingwa na tunataka kuwa sehemu ya historia ya Nchi hii kwenye mabadiliko ya Mpira.Kabla ya kutetema watakuwa wanatetemeka sababu wanajua wanaenda kucheza na Ruvu"

MASAU BWIRE

✍️Futbal Planet

🗣Nikipata fursa ya kuonana na Rais wa TFF Wallace Karia na Katibu Mkuu Wilfred Kidao nitashukuru, moja kati ya mambo amb...
30/09/2022

🗣Nikipata fursa ya kuonana na Rais wa TFF Wallace Karia na Katibu Mkuu Wilfred Kidao nitashukuru, moja kati ya mambo ambayo nitayafanya ni kuwaomba ikiwapendeza, basi wampunguzie adhabu Haji Manara kwa sababu sisi Yanga bado tunamuhitaji na mimi binafsi nahitaji kujifunza vitu vingi kutoka kwake"

🗣Nitawaomba wa-deal na mazuri ambayo Haji Manara aliyafanya kwenye mpira wetu na yale mapungufu yake wayachukulie k**a sehemu ya ubinadamu.Kama kuna nafasi hata ndogo ya kumpunguzia adhabu, sisi Yanga tutashukuru"

Ali kamwe

✍️Middlecharz Sports INFO

Ule muda wa Wananchi kuwa na jambo lao unakaribia, unadhani wana nini cha kuwaambia Wananchi😀🔰🔰🔰👇👇👇 ni leoSeptember 30,2...
30/09/2022

Ule muda wa Wananchi kuwa na jambo lao unakaribia, unadhani wana nini cha kuwaambia Wananchi😀🔰🔰🔰👇👇👇 ni leo

September 30,2022 kuanzia saa 4:00 asubui

SERENA HOTEL

TAARIFA KUHUSU SHINOBU SAKAI (MJAPANI)WA GEITA GOLD.🗣Ni kweli ni mchezaji wetu halali na yuko fiti kwa asilimia zote kuc...
30/09/2022

TAARIFA KUHUSU SHINOBU SAKAI (MJAPANI)WA GEITA GOLD.

🗣Ni kweli ni mchezaji wetu halali na yuko fiti kwa asilimia zote kucheza mechi zetu dhidi ya timu yoyote katika mashindano yoyote tutakayoshiriki msimu huu ukiacha shirikisho ambapo tumetolewa katika hatua ya awali.

🗣Kikwazo kikuu kipo katika vibali vinavyoweza kumruhusu kufanya kazi hapa nchini katika klabu yetu ya Geita bado ni swala lenye changamoto na tunalifatilia kwa ukaribu zaidi ili tuweze kulifanikisha na aanze majukumu ya kutumikia mkataba wake ndo maana anafanya mazoezi ili awe fiti kimwili.

🔎Afisa habari wa Geita gold akihojiwa na mwandishi wa habari.

Middlecharz Sports INFO

Address

Mwanza

Telephone

+255755336866

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Middlecharz Sports INFO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Middlecharz Sports INFO:

Share

Category