08/11/2017
baada ya mechi ya jumapili dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu england chelsea the blues na mashetani wekundu man utd umuhimu wa kiungo mashuhuri ngolo kante ulijidhihirisha bila shaka sasa nataka unambie je unadhani mabingwa hao watetezi bila ya kante katikati ya dimba si chochote na je kwa kuangalia video hii ya uchambuzi wa mechi hiyo unadhani man utd na mourinho kiujumla walizidiwa sehemu gani haswa katika mechi hii?????ebu tazama video hii apa alafu comment,like au share post hii,,,,