25/09/2023
HIVI KUNA KUNA KITU GANI APA
Nilitoa angalizo mapema Sana kabla ya ligi kuanza, isitoshe nilitoa hadi idadi ya waganga wao wanaowatumia kuhakiki timu yenu haifiki mahali.. still mlinibeza sana.
Mpango mkubwa wanaoutaka wenzenu nikuhakikisha msimu huu hata hatua ya makundi hamkanyagi, wameamua kutumia njia mbadala kuwaharibia wachezaji wenu.
Hata yule jamaa yao aliyeenda Zanzibar Wiki Jana alienda kufanya jambo alitumwa na watu wao.Hata Mashabiki waliopo Zanzibar walisema kuna k**ati inajigamba kuwaharibia wachezaji na Kucheza Mechi zeni.Hilo nalo hamlijui??
Wanataka na wao kuwa watawala na watambulike zaidi kuliko nyie.
Ndiyo maana wameamua kutumia njia mbadala kuwadogodesha ili wao washike ile Nafasi yenu mliyokuwa mmeshika nyie kimataifa..
Wenzenu wameungana na matawi yao wanapewa ushirikiano mkubwa Sana na matawi yao katika kuindoofisha Timu yenu.
Jitahidini na nyie muyape nguvu ya ushirikiano matawi yenu ili wawasaidie kwenye matatizo k**a .
Mnapaswa kujua kuwa wenzenu wamefanya Mchezo wa Mpira K**a uadui ndiyo Maana hata yule Digital manager wao kila anatumia Ukurasa wake kuichafua Club yenu kila siku.Yaani viongozi wao wanapigana vita ya Wazi wazi lakini pia wameajiri watu maalum kupigana vita ya Gizani na nyie.
Inamaana nyie hamsh*tuki?
👉❤️🌟 Niliwaonesha mchoro mzima kabla ya ligi kuanza lakini K**a mlibeza hivi.. làkini kuna mtu nilimtuma kwa kiongozi mmoja ili wafanye jambo lakini hawakufanya
chochote, kinachoendelea sasa hivi Ni Matokeo ya kile nilichowaambia mapema.
Lakini hamjachelewa bado mnaweza kufanya jambo kwaajiri ya watu wanaocheza na Timu yenu.
Sitawakumbusha tena hii ndiyo post yangu ya Mwisho kuhusu Swala lenu..
Updates:
Simba Sc inatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Pan African siku ya kesho Jumanne Septemba 26 saa 3:00 Asubuhi katika uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju.
Mechi hiyo ni sehemu ya maandalizi ya mchezo ujao wa CAF CL dhidi ya Power Dynamos 🇿🇲