Nyoni sports

Nyoni sports Michezo, Birudani & Betting Tips

-Kocha mkuu wa timu ya Senegal, Aliou Cisse amesema hawezi kuzichukulia poa timu za Tanzania na Kenya kwenye kundi C la ...
19/06/2019

-Kocha mkuu wa timu ya Senegal, Aliou Cisse amesema hawezi kuzichukulia poa timu za Tanzania na Kenya kwenye kundi C la Afcon. Cisse amesema ni kweli Senegal na Algeria ni timu kubwa kwenye kundi ila Kenya na Tanzania kwa wao Senegel hawa wezi kuwadharau kwa sababu mechi na timu dogo ndio zinakuwa mechi ngumu sana.

Tff imeachana rasmi na aliekuwa mkurugenzi wa ufundi Ammy Ninje na  kuvunja benchi la ufundi la Serengeti boys.
12/06/2019

Tff imeachana rasmi na aliekuwa mkurugenzi wa ufundi Ammy Ninje na kuvunja benchi la ufundi la Serengeti boys.

Jezi ya Nyumbani ya Taifa stars.
12/06/2019

Jezi ya Nyumbani ya Taifa stars.

Jezi za Taifa stars katika mechi za Uganini.
12/06/2019

Jezi za Taifa stars katika mechi za Uganini.

Mwinyi Zahera Mimi sijasema Ajibu ni mchezaji Mbaya hapana, Ajibu ni mchezaji mzuri sana ila mimi sitaki kufanya kazi na...
12/06/2019

Mwinyi Zahera Mimi sijasema Ajibu ni mchezaji Mbaya hapana, Ajibu ni mchezaji mzuri sana ila mimi sitaki kufanya kazi na mtu ambaye hajielewi. Ukifanya kazi na mtu ambaye hajielewi ipo siku atafanya mambo ya ovyo na tutoe mimacho tunamshangaa. Nimesema Simtaki Ajibu kwenye timu yangu aende kwenye timu ambazo hawajielewi"

Mchezaji wa Crystal Palace "Aron Wan Bissaka" amewaeleza mabosi wake kua anahitaji kujiunga na Man utd Ingawaje hajatuma...
12/06/2019

Mchezaji wa Crystal Palace "Aron Wan Bissaka" amewaeleza mabosi wake kua anahitaji kujiunga na Man utd Ingawaje hajatuma taarifa ya maandishi kwa mabosi hao.
Inaelezwa kua ameingiwa na wasiwasi juu ya uhamisho wake baada ya kuona dau la £40M limekataliwa na Crystal Palace.

.Klabu ya FK Renova inayoshiriki ligi kuu ya nchini Macedonia barani Ulaya imempa ofa golikipa wa klabu ya Yanga, Ramadh...
12/06/2019

.
Klabu ya FK Renova inayoshiriki ligi kuu ya nchini Macedonia barani Ulaya imempa ofa golikipa wa klabu ya Yanga, Ramadhani Kabwilj ya kwenda kufanya majaribio ya wiki mbili kuanzia June 24 . Klabu hiyo imesema itamgharamikia Kabwili nauli ya Ndege, Chakula na malazi kwa wiki zote mbili ambazo atakuwa huko. Mkataba wa kabwili na Yanga unaisha mwisho wa mwezi huu.

WALIOTEMWA TAIFA STARS AFCON 20191.Shiza Kichuya-PHARCO2.Kelvin John-U-173.Fred Tangalu-LIPULI FC4.Clayro Boniphace-U-20...
12/06/2019

WALIOTEMWA TAIFA STARS AFCON 2019
1.Shiza Kichuya-PHARCO
2.Kelvin John-U-17
3.Fred Tangalu-LIPULI FC
4.Clayro Boniphace-U-20
5.Suleiman Salula-MALINDI FC
6.Abdi Banda-BAROKA FC
7.Shaban Iddi Chilunda-TENERIFE
8.Miraj Athuman-LIPULI FC
9.David Mwantika-AZAM FC

Kikosi kamili cha Wachezaji 23 wa Stars.

This is Simba
11/06/2019

This is Simba

Imeripoti kuwa  Klabu ya Kaizer Chiefs imeanza kuwinda saini ya kiungo mkabaji wa Simba, James Kotei ambaye amehusishwa ...
11/06/2019

Imeripoti kuwa Klabu ya Kaizer Chiefs imeanza kuwinda saini ya kiungo mkabaji wa Simba, James Kotei ambaye amehusishwa kuachwa na klabu ya Simba SC.

Jina la mchezaji nyota mshambulija wa Yanga Sc Ibrahim Ajibu bado lipo katika orodha ya wachezaji wawili wazawa ambao wa...
11/06/2019

Jina la mchezaji nyota mshambulija wa Yanga Sc Ibrahim Ajibu bado lipo katika orodha ya wachezaji wawili wazawa ambao wanaweza kusajiliwa na klabu ya Simba Sc licha ya taarifa za Ajibu kusaini mkataba mpya Yanga ni Shaban Idd Chilund na Ibrahim Ajibu wachezaji wawili wazawa wanaoweza kusajiliwa na Simba Sc.

Address

Mwanga
Kigoma
255

Telephone

0744916733

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nyoni sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category