SokaBase

SokaBase Tanzanian sports journalist | Freelance Journalist || C.E.O sammsports255 || email. [email protected]

Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuu...
11/03/2026

Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei na kusababisha mzozo mkubwa wa kikanda, waziri wa michezo wa nchi hiyo amesena Jumatano hii.

🔋 Kikosi cha Arsenal kinachoanza dhidi ya Bayern Leverkusen
11/03/2026

🔋 Kikosi cha Arsenal kinachoanza dhidi ya Bayern Leverkusen

🚨 Beki wa Aston Villa Ezri Konsa amekuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi nyekundu
16/08/2025

🚨 Beki wa Aston Villa Ezri Konsa amekuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi nyekundu

🚨 Premier league Leo.14:30 Newcastle 🆚 Aston Villa17:00 Brighton 🆚 Fulham17:00 Sunderland 🆚 West Ham17:00 Tottenham 🆚 Bu...
15/08/2025

🚨 Premier league Leo.

14:30 Newcastle 🆚 Aston Villa
17:00 Brighton 🆚 Fulham
17:00 Sunderland 🆚 West Ham
17:00 Tottenham 🆚 Burnley
19:30 Wolves 🆚 Man City

🚨  Mohamed Salah ndiye kinara mwenye magoli mengi zaidi katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligu Uingeleza akiwa amefu...
15/08/2025

🚨 Mohamed Salah ndiye kinara mwenye magoli mengi zaidi katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligu Uingeleza akiwa amefunga mabao (10), akiwazidi nyota wengine waliobaki wenye 8.

🚨 Premier LeagueFt: Liverpool 4-2 Bournemouth⚽️ Ekitike.             Semenyo ⚽️⚽️⚽️ Gakpo⚽️ Chiessa⚽️ Salah Liverpool am...
15/08/2025

🚨 Premier League

Ft: Liverpool 4-2 Bournemouth
⚽️ Ekitike. Semenyo ⚽️⚽️
⚽️ Gakpo
⚽️ Chiessa
⚽️ Salah

Liverpool ameendelea pale alipoishia msimu uliopita,.

🚨 Azam fc imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Jkt Tanzania kwa kufungwa goli 2-1
13/08/2025

🚨 Azam fc imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Jkt Tanzania kwa kufungwa goli 2-1

🚨 Kikosi cha SimbaSc kimeendelea na mazoezi nchini Misri  kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.
13/08/2025

🚨 Kikosi cha SimbaSc kimeendelea na mazoezi nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.

🚨 Zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya Premier League (Epl) kuanza,ni timu gani unaiona inakwenda kuchukua kombe..?
13/08/2025

🚨 Zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya Premier League (Epl) kuanza,ni timu gani unaiona inakwenda kuchukua kombe..?

🚨 Manchester Utd wamethibitisha mshambuliaji wao mpya Benjamin Šeško atavaa jezi namba 30.
13/08/2025

🚨 Manchester Utd wamethibitisha mshambuliaji wao mpya Benjamin Šeško atavaa jezi namba 30.

🚨💙 Rasmi, imethibitishwa. Jack Grealish anajiunga na Everton kwa mkataba wa mkopo na kipengele cha chaguo cha kununua ch...
13/08/2025

🚨💙 Rasmi, imethibitishwa. Jack Grealish anajiunga na Everton kwa mkataba wa mkopo na kipengele cha chaguo cha kununua cha £50m kutoka Man City.

Address

Kigamboni

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SokaBase posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SokaBase:

Share

Category