11/03/2026
Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei na kusababisha mzozo mkubwa wa kikanda, waziri wa michezo wa nchi hiyo amesena Jumatano hii.