08/03/2024
TAASISI 5 BORA ZA MPIRA WA MIGUU TANZANIA KWA SASA .
Kutokana na utafiti niliyoufanya hizi ndo taasisi 5 bora za mpira wa miguu nchini:
1. YOUNG AFRICANS SC.
Hii ndiyo klabu ya mpira kongwe zaidi nchini Tanzania ikianzishwa mwaka 1935(89yrs) yenye makazi yake katika mitaa ya twiga na jangwani jijini dar es salaam. Young Africans imekuwa timu popular saana kwa sasa barani afrika kutokana na uwezo mkubwa walionao ndani ya pitch kutokana na uwekezaji wao walioufanya miaka ya hivi karibuni. Young Africans imefanya Real football transformation hapa unazungumzia mfumo bora wa uongozi ndani ya timu, mpka sasa klabu ya yanga SC ipo phase Three ya transformation (Fans engagement) ambapo phase four watamalza na kukaribisha wawekezaji ndani ya timu. Ikumbukwe kufanya real football transformation hapa nchini Tanzania imekuwa ngumu saana kwa vilabu vyetu kutokana na mazingira yetu. Hvyo kutokana na transformation hiyoo imewafanya yanga SC kuweza,,,,,
๐Nbc premier league 2x๐
๐CAF CC final ๐
๐CAF CL quarter final ๐น
Nakuweza kuwafanya wakusanye alama 31 za CAF ndani ya miaka 2 tu na klabu pekee africa kufanya hvoo ndani ya misimu 2 tu ya mashindano.
Klabu ya yanga SC pia imeweza kushika nafasi ya 2 Africa Kwa numbers kubwa za mashabiki (35m fans) nyuma ya Al ahly ya misri yenye fans wengi zaidi africa ( 70m+ Fans).
Kwa Data hizo unaweza kutambua ni kwa kiasi gani klabu ya yanga SC imechangia kukuza soka hapa nchini maan haya ni baadhi tu ya mafanikio yanayokeletwa na timu hii kubwa nchini.
2. SIMBA SPORTS CLUB
HII ni miongoni mwa timu kubwa nchini Tanzania ikianzishwa mwaka 1936(88yrs) . Simba sc imejaribu pia kufanya transformation ikiishia phase one na kukwama kutokana na sababu mbali mbali za kimitazamo na kimazingira. Kutokana na uwekezaji walioufanya Simba sc wamefanikiwa kuweka idea of international football in Tanzania kwani wamefanikiwa,,,,
๐Kubeba Vodacom pl 4x๐
๐ Quarter final 4xโ๏ธ CCL
๐ Quarter final 1xโ๏ธ CAF CC
Kutokana na mafanikio hayo Simba sc imeweza kushiriki kwa kiasi kikubwa kukuza mpira hapa nchini Tanzania ikichangia alama 39 ndani ya miaka 5 ya ushiriki wao ktk mashindano ya CAF na kuwafanya kushika nafasi ya 6 kwa vilabu barani afrika. Pia imefanya vilabu vingine hapa nchini kuweza kui implement the idea of international football in Tanzania hivyo kuongezeka kwa vilabu vinavyofanya vzr kimataifa. Simba pia ni Moja ya vilabu maarufu barani afrika inayokadiliwa kuwa na zaidi ya mashabiki 10m kutokana na utafiti uliofanywa na mtandao wa African soccer zone.
Simba imefanikiwa kuwa na kandanda safi ndani ya pitch na kuvifanya vilabu vya mataifa kuheshimu zinapokutana na vilabu vya Tanzania especially waarabu ambao wamekuwa hawatoki na kitu kwa mkapa mbele ya Simba sc .
Nb: nafasi ya 3,4&5 zidaendelea soon get turned ๐ค