21/05/2025
Menyu ya Siku 1 kwa Wagonjwa (Kisukari, Shinikizo la Damu, CKD)
1. Kisukari (Diabetes):
Asubuhi: Uji wa dona, mayai 2, parachichi/ndizi ndogo, chai bila sukari
Mchana: Ugali kidogo, samaki wa kuchemsha/kupikwa kwa mafuta kidogo, mboga za majani, saladi
Jioni: Maharagwe, wali wa brown, mboga, ndimu/embe bichi
2. Shinikizo la Damu (Hypertension):
Asubuhi: Uji wa ulezi, chai ya tangawizi/limao, parachichi/ndizi
Mchana: Wali brown/viazi vitamu, samaki/kuku bila ngozi, mboga, ndizi ya kupika
Jioni: Maharagwe/dengu, ugali wa dona, kachumbari
3. Figo (CKD - hatua ya kati):
Asubuhi: Uji wa nafaka moja, tosti brown, chai ya rangi, parachichi/papai
Mchana: Ugali kidogo, yai/samaki mdogo, mboga zilizochemshwa na kuoshwa mara 2, ndimu
Jioni: Wali mweupe, maharagwe/dengu, mboga
Kumbuka: Wagonjwa wa figo wafuatilie maji, potasiamu, fosforasi na protini kwa ushauri wa daktari.
0717 013919