Sports extra

Sports extra It's special 4 all type of sports especially football

Dooh....kwel..EPL ya msimu unaonekanaa ni mgumu na wenye magoli mengi...kwa timu zoote.....maana ni usajili uliofanyika ...
10/07/2017

Dooh....kwel..EPL ya msimu unaonekanaa ni mgumu na wenye magoli mengi...kwa timu zoote.....maana ni usajili uliofanyika mkubwa na tishio kwa klabu zoote....xx yangu macho...je usajili uliofanyika utafanya kazi ili kutetea timu zao..........

21/06/2017

Duuhh...nadhani UEFA ya msimu huu haitonogaa kwasababu ya kukosekana timu ambayo huwa kila msimu ipo na kuiwakilixha EPL vyemaa.....xaxa xjui itakuwaje....toa maoni yenu

21/06/2017

Wanachama wa sports extraa.....polen ya kuwa mm kuwa adimu sana kwa ili...ilaa mda huu ntakuwa bega kwa bega...kweny kutoa mchangooo...kwa lolote litakalo tokea katkaa kabumbu....

naomba niulize ki2 hivi msimamo utabak hivi au utakuja kubadilika
07/11/2016

naomba niulize ki2 hivi msimamo utabak hivi au utakuja kubadilika

hapo chacha fainal ya watoto wa baba 1 xjui itakuwaje????
04/05/2016

hapo chacha fainal ya watoto wa baba 1 xjui itakuwaje????

duuuuhhh!!!!! kwel nmeamin mpira unadunda maana kupiga kote mpira lakn wakaambulia kutoka ila hawa the   wametoka kisher...
04/05/2016

duuuuhhh!!!!! kwel nmeamin mpira unadunda maana kupiga kote mpira lakn wakaambulia kutoka ila hawa the wametoka kisheria

picha la leo kali sana mimi xina meng ya kuongea labda nyie watu wang wa nguvu
04/05/2016

picha la leo kali sana mimi xina meng ya kuongea labda nyie watu wang wa nguvu

28/04/2016

jaman picha ndo k**a linavyoonekana pale UEFA masterlingi wote wamekufa ila katka picha hilo hilo masterling watarud tena kwa nguvu mpya kwa baadh ya watu wao muhimu kurud je masterling watafanikiwa kuwapiga maadui ili waweze kukutana wenywe

namba 1 REALMADRID
namba 2 BAYERN MUNICH

Jaman ureno imekuwaje lakn
31/03/2016

Jaman ureno imekuwaje lakn

13/12/2015

Jaman hatua ya makundi uefa ni tayar yashaisha na baadhi ya timu k**a chelsea,man city,arsenal ni pekee za ligi kuu england ndo zmefanikiwa kupita kwa hatua ya 16 bora je watafanikiwa kuiwakilixha hiyo ligi ya england vyema ila tunamtakia kila kheri man united kwa kushindwa kupita katika hatua hiyo!!!!!

28/04/2015

neno langu ni kuwa Yanga ni bingwa

Address

Dar Es Salam

Telephone

0715621474

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports extra posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category