Football news

Football news Getting dialogues on football progress allover the country

When elders sayed "don't play with fire" they meant it ...♦there through PSG out
06/03/2019

When elders sayed "don't play with fire" they meant it ...
♦there through PSG out

Juventus won the game while NAPOLI dominating the match very tiredless
03/03/2019

Juventus won the game while NAPOLI dominating the match very tiredless

02/03/2019
Adhabu mpya ndani ya UEFA.Wachezaji wanaonesha ishara ya kuangalia kwenye TV ya VAR kwa kutumia mikono yao kwenye mashin...
07/02/2019

Adhabu mpya ndani ya UEFA.
Wachezaji wanaonesha ishara ya kuangalia kwenye TV ya VAR kwa kutumia mikono yao kwenye mashindano ya UEFA wataadhibiwa kwa kadi ya njano , Shirikisho la Soka barani Ulaya limearifu.
UEFA wanataka matumizi ya VAR yawe kamilifu na yasiyoleta marumbano huku maamuzi ya mwisho yaachwe kwa mwamuzi aliopo uwanjani.
Afisa Mkuu wa Waamuzi wa UEFA , Roberto Rosetti ameelezea kuhusu kudumisha utawala wa Mwamuzi na ndio maana anataka adhabu itolewe kwa wachezaji wote wanaonesha ishara hiyo.
"Mchezaji yoyote anayeonesha ishara ya TV ya VAR anatakiwa kuoneshwa kadi ya Njano. Na k**a wachezaji wakimzunguka mwamuzi lazima hatua ya kinidhamu iingilie kati . Tunataka maamuzi yafanyike katika vitendo k**a hivyo."
Rosetti ameongeza kwa kusema kwamba wanataka kuitumia VAR kwa uangalifu sana.
" Hatutaki kuamua mara mbili mbili mechi na kuharibu ladha ya soka kwa kusimamisha mchezo mara tatu au mara nne. Lazima kuwe na picha za wazi kabisa katika kila tukio ."
Kwa kuongeza zaidi Rosetti amewataka waamuzi kufanya maamuzi sahihi kwa kuangalia zaidi TV zilizopembeni ya uwanja tofauti na kusikiliza mtazamo wa watu waliojuu kwenye VAR.
"VAR inatakiwa kuwa k**a Bima tu au k**a parachute tu kwa waamuzi."

happy b.Lated man
30/01/2019

happy b.Lated man

Dybala made it for Juventus leavng with 3 points
23/10/2018

Dybala made it for Juventus leavng with 3 points

To all those whom we checked the match yesterday ,to my point if this guy is not serious and continues playing as he did...
26/11/2017

To all those whom we checked the match yesterday ,to my point if this guy is not serious and continues playing as he did yesterday ... Messi is in for the Baloon D'O next round..
What's your comment sportsman?

"Kwa wale tulio angalia mechi Jana ,Mimi naona Cr7 hayuko makini msimu huu na k**a hata badilia basi Messi ajiandae kuutwaa Balon D'O inayofuata......
Nini maoni yako mwanasoka?

23/11/2017

Is AC MILAN able to knock down the AUSTRIA'S today ......???????

DONE DEAL
16/08/2017

DONE DEAL

Todays big match
27/04/2017

Todays big match

Kaz kwenu
20/03/2017

Kaz kwenu

Msimamo wa ligi kwa sasa unaona nan atauchukua ubingwa??
20/12/2016

Msimamo wa ligi kwa sasa unaona nan atauchukua ubingwa??

Address

Dar Es Salaam
WWW.TZ.COM

Telephone

+255672896108

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Football news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Football news:

Share

Category