Hakuna gumu Mbele za Mungu wa mbinguni.

Hakuna gumu Mbele za Mungu wa mbinguni. 1.Will you able to comfort some ones as awesome of God the all might

22/01/2026

UMUHINUWAMAOMBI
Weweusikiayekuomba,wote wenye mwili
watakujia."Zaburi65:2."Kamaningaliwazamaovumoyonimwengu,Bwana
asingesikia."Zaburi66:18.Tazama Isava59:1-2.
Yakobo4:3.
FAHAMU:Maombi hayamshushi Mungu kwako bali hukuinua mpaka mahali alipo Mungu,hukuza uhusiano wako na muumba wako,Maombi ni ufunguaji wa moyo kwa Mungu k**a ilivyo kwa rafiki,Maombi hayambadilishi Mungu ila yanatubadilisha sisi,ili tufanane naye,Epuka kumuamrisha na kufoka kwa Mungu bali msihi kwa lugha ya upole na kunyenyekea anatusikia tumwitapo bila kujalisha mazingira tuliyopo fuata amri zake na kuwajali wengine gusa moyo wa Mungu kwa kuwatendea wengine mema na maombi yako yatajibiwa ila k**a haujali watu kuwasaidia kwa vile ulivyo navyo anatuambia ukimsaidia mmojawapo wa wanadamu unamtendea yeye k**a utoavyo sadaka kanisani wape wengine sadaka zako zitakuwa ukumbusho mbele za Mungu tuwe Kornelio wa leo.Mdo 10.Yeyealigeuzayesikiolakeasiisikiesheria.hatasala
yakenichukizo."Mithali28:9."Lakinimiminawaambia,wapendeniaduizenu
waombeewanaowaudhi."Mathayo5:44.esheni,mwombe,msijemkaingiamajaribuni;
rohoiradhi,lakinimwilinidhaifu."Mathayo26:41.Ila na omba kwa imani, pasipo shaka yo yote; maana
lililochukuliwanaupepo,nakupeperushwahukuna
mwenyeshakanik**awimbilabahari
atapokeakitukwaBwana."Yakobo1:6-7.Tazama
huku.Maanamtuk**ayuleasidhaniyakuwa
Marko11:24.Fahamu-Maombiniufunguomikononimwamwenye
Imaniakikufunguahazinazotezambingunimahali
paliponautajiriusionakifaniwaMungu.
Mungu akubariki unajipanga kumuomba kwa Roho na kweli ukijijali na kuwajali wengine
Kesho tutaendelea na vitu vinavyozuia maombi kutokujibiwa kwa wakati asanteni sana kwa kuchulua usikivu wenu kusoma neno la Mungu
Mungu akupe haja ya moyo wake

06/01/2026

KARIBUNI KATIKA KUTIMIZA WITO WETU TULIOITIWA
1.KUHUBIRI INJILI MATH 28:19-20,MARK 16:15
2.IBADA Wafilipi 4:6-9
[6]Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.
[7]Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
And the peace of God, which passeth all understanding, shall keep your hearts and minds through Christ Jesus.
[8]Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo.
Finally, brethren, whatsoever things are true, whatsoever things are honest, whatsoever things are just, whatsoever things are pure, whatsoever things are lovely, whatsoever things are of good report; if there be any virtue, and if there be any praise, think on these things.
[9]Mambo mliyojifunza kwangu na kuyapokea, na kuyasikia na kuyaona kwangu, yatendeni hayo; na Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
Those things, which ye have both learned, and received, and heard, and seen in me, do: and the God of peace shall be with you.
3.UWAKILI KWA AINA ZAKE HASA MALI NA FEDHA ZAPASWA KUBARIKIWA Malaki 3:8-10
[8]Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.
Will a man rob God? Yet ye have robbed me. But ye say, Wherein have we robbed thee? In tithes and offerings.
[9]Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote.
Ye are cursed with a curse: for ye have robbed me, even this whole nation.
[10]Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue k**a sitawafungulia.4 KAZI

29/09/2025

Mithali 1:8-9,11-16
[8]Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako,
Wala usiiache sheria ya mama yako,
My son, hear the instruction of thy father, and forsake not the law of thy mother:
[9]Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako,
Na mikufu shingoni mwako.
For they shall be an ornament of grace unto thy head, and chains about thy neck.
[11]Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi,
Na tuvizie ili kumwaga damu;
Tumwotee asiye na hatia, bila sababu;
If they say, Come with us, let us lay wait for blood, let us lurk privily for the innocent without cause:
[12]Tuwameze hai k**a kuzimu,
Na wazima, k**a wao washukao shimoni.
Let us swallow them up alive as the grave; and whole, as those that go down into the pit:
[13]Tutapata mali yote ya thamani,
Tutazijaza nyumba zetu mateka.
We shall find all precious substance, we shall fill our houses with spoil:
[14]Wewe utashirikiana nasi;
Tutakuwa na vitu vyote shirika.
Cast in thy lot among us; let us all have one purse:
[15]Mwanangu, usiende njiani pamoja nao;
Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.
My son, walk not thou in the way with them; refrain thy foot from their path:
[16]Maana miguu yao huenda mbio maovuni,
Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.
For their feet run to evil, and make haste to shed blood.

11/09/2025

1 Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
Wakolosai 3:1

2 Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi.
Wakolosai 3:2

3 Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Wakolosai 3:3

4 Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu.
Wakolosai 3:4

5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
Wakolosai 3:5

6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Wakolosai 3:6

7 Katika hayo ninyi nanyi mlitembea zamani, mlipoishi katika hayo.
Wakolosai 3:7

8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
Wakolosai 3:8

9 Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;
Wakolosai 3:9

10 mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano wake yeye aliyeuumba.
Wakolosai 3:10

11 Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.
Wakolosai 3:11

12 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,
Wakolosai 3:12

13 mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; k**a Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.
Wakolosai 3:13

14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.
Wakolosai 3:14

15 Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.
Wakolosai 3:15

16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.
Wakolosai 3:16

17 Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mun

29/08/2025

NAWATAKIA WAADVENTISTA WASABATO WOTE
HERI YA SABATO

22/08/2025

Nehemia 5:1-13
[1]Ndipo kukatokea kilio kikuu cha watu, na wake zao, juu ya ndugu zao Wayahudi.
And there was a great cry of the people and of their wives against their brethren the Jews.
[2]Maana, walikuwako watu waliosema, Sisi, na wana wetu na binti zetu, tu wengi; na tupate ngano, tule, tukaishi.
For there were that said, We, our sons, and our daughters, are many: therefore we take up corn for them, that we may eat, and live.
[3]Tena walikuwako wengine waliosema, Tumeweka rehani mashamba yetu, na mizabibu yetu, na nyumba zetu; tupate ngano, kwa sababu ya njaa.
Some also there were that said, We have mortgaged our lands, vineyards, and houses, that we might buy corn, because of the dearth.
[4]Tena walikuwako wengine waliosema, Tumekopa fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa kuweka rehani mashamba yetu, na mizabibu yetu.
There were also that said, We have borrowed money for the king's tribute, and that upon our lands and vineyards.
[5]Walakini miili yetu ni k**a miili ya ndugu zetu, na watoto wetu k**a watoto wao; kumbe! Mnawatia utumwani wana wetu na binti zetu kuwa watumishi, na baadhi ya binti zetu wamekwisha kutiwa utumwani; wala hatuwezi kujiepusha na hayo; maana watu wengine wana mashamba yetu na mizabibu yetu.
Yet now our flesh is as the flesh of our brethren, our children as their children: and, lo, we bring into bo***ge our sons and our daughters to be servants, and some of our daughters are brought unto bo***ge already: neither is it in our power to redeem them; for other men have our lands and vineyards.
[6]Nami nilikasirika sana, niliposikia kilio chao, na maneno hayo.
And I was very angry when I heard their cry and these words.
[7]Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu, nikagombana na wakuu na mashehe, nikawaambia, Mnatoza watu riba, kila mtu ndugu yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kushindana nao.
Then I consulted with myself, and I rebuked the nobles, and the rulers, and said unto them, Ye exact usury, every one of his brother. And I set a gr

17/08/2025

Nawatakieni mchana mwema
Mwanzo 2:15
[15]BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
And the LORD God took the man, and put him into the garden of Eden to dress it and to keep it.

09/08/2025

Maulid Kitenge

28/07/2025

Mungu akikupa nafasi ya kupumua usitumie nafasi hiyo kuwaambia hawataweza kufanya chochote maana hujui kile Mungu alichowapangia maishani mwao"kumbuka usimkatie mtu tamaa ambaye bado anapumua hata k**a yupo ICU"

Address

White House
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hakuna gumu Mbele za Mungu wa mbinguni. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hakuna gumu Mbele za Mungu wa mbinguni.:

Share