22/01/2026
UMUHINUWAMAOMBI
Weweusikiayekuomba,wote wenye mwili
watakujia."Zaburi65:2."Kamaningaliwazamaovumoyonimwengu,Bwana
asingesikia."Zaburi66:18.Tazama Isava59:1-2.
Yakobo4:3.
FAHAMU:Maombi hayamshushi Mungu kwako bali hukuinua mpaka mahali alipo Mungu,hukuza uhusiano wako na muumba wako,Maombi ni ufunguaji wa moyo kwa Mungu k**a ilivyo kwa rafiki,Maombi hayambadilishi Mungu ila yanatubadilisha sisi,ili tufanane naye,Epuka kumuamrisha na kufoka kwa Mungu bali msihi kwa lugha ya upole na kunyenyekea anatusikia tumwitapo bila kujalisha mazingira tuliyopo fuata amri zake na kuwajali wengine gusa moyo wa Mungu kwa kuwatendea wengine mema na maombi yako yatajibiwa ila k**a haujali watu kuwasaidia kwa vile ulivyo navyo anatuambia ukimsaidia mmojawapo wa wanadamu unamtendea yeye k**a utoavyo sadaka kanisani wape wengine sadaka zako zitakuwa ukumbusho mbele za Mungu tuwe Kornelio wa leo.Mdo 10.Yeyealigeuzayesikiolakeasiisikiesheria.hatasala
yakenichukizo."Mithali28:9."Lakinimiminawaambia,wapendeniaduizenu
waombeewanaowaudhi."Mathayo5:44.esheni,mwombe,msijemkaingiamajaribuni;
rohoiradhi,lakinimwilinidhaifu."Mathayo26:41.Ila na omba kwa imani, pasipo shaka yo yote; maana
lililochukuliwanaupepo,nakupeperushwahukuna
mwenyeshakanik**awimbilabahari
atapokeakitukwaBwana."Yakobo1:6-7.Tazama
huku.Maanamtuk**ayuleasidhaniyakuwa
Marko11:24.Fahamu-Maombiniufunguomikononimwamwenye
Imaniakikufunguahazinazotezambingunimahali
paliponautajiriusionakifaniwaMungu.
Mungu akubariki unajipanga kumuomba kwa Roho na kweli ukijijali na kuwajali wengine
Kesho tutaendelea na vitu vinavyozuia maombi kutokujibiwa kwa wakati asanteni sana kwa kuchulua usikivu wenu kusoma neno la Mungu
Mungu akupe haja ya moyo wake