14/05/2026
Mwamba wa Lusaka 🇿🇲, Clatous Chota Chama aendelea kuwasha moto ndani ya Simba SC baada ya kuwa nyota wa mchezo kwa mara ya nne mfululizo. 🔥 Kiungo huyo fundi amefunga mabao mawili dhidi ya Mashujaa FC na sasa amefikisha jumla ya magoli 8 kwenye NBC Premier League msimu huu. ⚽⚽
📊 Goals: 08
🎯 Assists: 04