13/07/2023
πππ’π‘π ππππ: Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili Winga Maxi Mpia Nzengeli kutoka klabu ya Maniema Union ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Max Mpia Nzengeli (23) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesaini kandarasi la kuitumikia Young Africans SC mpaka Juni 2025.
Maxi Mpia Nzengeli anamudu kucheza k**a winga wa kulia, winga wa kushoto na kiungo mshambuliaji.