12/01/2026
🆕 KWA UFUPI HAKUNA KILICHOBADILIKA
Kiungo wa Singida Black Stars Marouf Tchakei amerejea kwenye klabu yake.Awali Yanga walikubaliana kumchukua Marouf Tchakei kwa mkopo hadi mwisho wa msimu baada ya dili ya kiungo mshambuliaji Allan Okello kusuasua.
Lakini Ujio wa Allan Okello ndani ya kikosi cha Yanga kwenye dirisha hili dogo la usajili limemuondoa Kiungo Marouf Tchakei kusalia ndani ya Yanga kutokana idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi.
Hakuna Kilicho Badilika Kiungo Mousa Balla Conte na Mohammed Doumbia watajiunga na Singida Black stars hivi karibuni k**a sehemu ya makubalino baina ya Yanga na Singida Black stars.
✍️ Hans Rafael14