12/04/2026
Chama cha makocha wa ngumi boxing waboresha katiba yao ilikuendana na katiba ya kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini Tanzania (TPBRC).....
Mkutano huo ambao ambao umefanyika Nefaland hotel pia umeunda k**ati mbalimbali zakimkakati kwaajili ya kukuza heshima ya Chama cha ngumi za kulipwa ikiwemo k**ati ya nidhamu,K**ati ya ufundi,k**ati ya habari ,K**ati ya hamasa nk......
Akitaja k**ati hizo katibu wa Chama hicho Juma Mbogo amesema Chama hicho kimedhamiria kuleta mapinfuzi ya kimaendeleo kutoka kwenye mikakati ya Zamani na kukifanya Chama cha kisasa kwa kuendana na Kasi ya maendeleo na mabadiliko ya kimaisha lazima TPRCA iendane na Kasi hiyo.
Miongoni mwa mabadiliko ya katiba yalioungwa mkono na wanachama ni kuwa na mfuko wa Dharula.
.mbogo.7161