17/11/2022
FRANCK RIBERY KUREJEA TENA FC BAYERN MUNICH
✅Nyota wa zamani wa Bayern Munich na Ufaransa, Frank Ribéry anatarajiwa kurejea katika klabu hiyo ya Bundesliga chini ya jukumu jipya.
✅Ribery (39) anatarajiwa kuwa balozi wa klabu, mazungumzo ya awali tayari yamefanyika kati ya pande zote mbili na yanaendelea vizuri.
✅Ribéry atachukua majukumu ya uwakilishi (Balozi) wa Bayern katika siku zijazo, si mchezaji wa kwanza wa zamani kuchukua nafasi hii huku wachezaji k**a vile Giovane Elber (50) na Claudio Pizarro (44) wakiwa tayari wamechukua kazi sawa na klabu.
✅Tangu alipostaafu mwezi Oktoba kutokana na majeraha ya mara kwa mara ya goti, Ribéry amekuwa akifanya kazi k**a kocha msaidizi katika klabu ya Serie A, Salernitana ambaye kwa sasa ipo nafasi ya 12.