Adizo mafedha

Adizo mafedha Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Adizo mafedha, Performance & Event Venue, TANZANIA, Bukoba.

Mimi naushauri binafsi hii ishu ya GNs na wasanii ni serious kabisa na watu hawatanii kabisa lakni piah hatuwezi kwenda ...
16/12/2025

Mimi naushauri binafsi hii ishu ya GNs na wasanii ni serious kabisa na watu hawatanii kabisa lakni piah hatuwezi kwenda hivi maisha yote ni ngumu,,, Nakaushauri kadogo k**a mkikapokea,,wasanii wote wangeungana akuna cha flan ana bifu wakiongozwa na pamoja na waite press iandaliwe promotion na media za bongo zote maana ata wao inawapain, Ipigwe show kubwa mapato yatakayopatikana yote warudishe Kwa jamii...hii itaenda kupunguza maumivu na kwakiasi chake..tusidanganyane Hali hii ni mbaya sana...

Na Mimi niliamua niwash*taki Kwa kingereza chakuunga unga..ila imefika
01/12/2025

Na Mimi niliamua niwash*taki Kwa kingereza chakuunga unga..ila imefika

Woooh
01/12/2025

Woooh

🔥🔥🔥
28/11/2025

🔥🔥🔥

Only God
14/11/2025

Only God

God plan
26/09/2025

God plan

NJE YA TAREHE 16 SEPTEMBER 2025 HATUCHEZI. Ishaanza kuwa k**a tabia yao Sasa Makolo,kukimbia dabi safari hii k**a hawata...
27/08/2025

NJE YA TAREHE 16 SEPTEMBER 2025 HATUCHEZI.

Ishaanza kuwa k**a tabia yao Sasa Makolo,kukimbia dabi safari hii k**a hawatakuja tarehe 16,9,2025 Benjamin MKAPA stadium basi Tff na bodi ya ligi tupeni ngao yetu tu.

Kila timu imefanya usajili wa Wachezaji 30,Kila timu ilikuwa inajua msimu huu itaanzia hatua za awali kusaka nafasi ya kucheza "Group stage" Caf Champions league ,Kisingizio cha Last born kutaka kuomba mchezo usogezwe mbele kisa ana mechi tarehe 19 nchini Botswana hapana Tff.

Hata Yanga walishawahi kuomba mchezo wao dhidi ya Azam Fc usogezwe mbele ili Yanga wajiandae vyema mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelodi Sundown ila Tff mligomea ombi la Wananchi Yanga.

Yanga walipotoka kucheza na Club African nchini Tunisia,Waliomba mchezo wao wa ligi dhidi kagera sugar usogezwe mbele ila Tff mligoma na wananchi wakacheza.Hivyo kwenye mchezo wa Ngao ya jamii ratiba ibaki pale pale ni SEPTEMBER 16,2025.nje ya hapo HATUCHEZI.

Address

TANZANIA
Bukoba
1234

Telephone

0766120877

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Adizo mafedha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share