23/02/2026
KALAMU YA LEO ๐ | TZ Prisons Vs Simba SC
3 POINTS โ
! Clean Sheet ๐ฅ! 22 Points on Table โ
! Mnyamaa anashinda mechi zake
TZ Prisons kwenye 4-4-2 / 5-4-1 mpango wao wa kuzuia ndio umewamaliza mbele ya Simba SC leo, walichagua kuzuia zaidi ila bado walipopata mpira hawakujua ni maeneo gani uende na wafanya nini! Hapa ndipo mpinzani wao alianzia kuwamaliza kwa sababu ya runners wengi alionao mstari wa juu
4-2-3-1 ya Simba build-up yao ilikuwa sahihi yenye muendelezo wenye mpangilio kupitia 2-3-4-1 yaani Kibabage & Kapombe wanapishana mstari wa pili au tatu then Chama, Loemba na Kagoma wanapita kati yao! Prisons hapa ndipo tatizo lilipoanzia kwao, Why?
1- Oura + Mwalimu + Gueye ile combination play yao ilivuruga sana back-line ya mpinzani wao na kuongeza hatari kwa M***a Mbisa! Muda mwingi Prisons wakawa hawakai kwenye shape yao sababu ya runners wengi wa Simba
2- Numerical Advantage: Simba hapa hata bila mpira walikuwa na wachezaji wengi kwenye nusu ya mpinzani wao(Kibabage + Kapombe waliongezeka karibu na 18 ya mpinzani wao, Prison ikakosa uhuru hata kwenye build-up)
2ND HALF! TZ Prisons ndio k**a walikuja kucheza na kupishana zaidi kisha Simba SC ikaamua kutulia na kuchagua nyakati ambazo zitafanya kuendelea kuushika mchezo hadi mwisho wa Dakika 90.
THIRD EYE. ๐
โช๏ธ Prinsons kipindi cha pili wamezuia vizuri sana โ
โช๏ธ Kagoma ๐! Oura + Gueye + Doto ๐ฅ! Sabyanka + Kimenya + Toure ๐ช
โช๏ธ Loemba that composure โ
! Chama that simplicity ๐ง ! Kapombe, great game today ๐ฅ
โช๏ธ Kibabage โ
kaamua kila siku kucheza mechi yake upande wake ๐ฅ
โช๏ธ RUSHINE DE REUCK, Top Top Game ๐! POTM no doubt ๐ฅ
NB:Machi 1 wanauliza mbona hafiki๐
FT:TZ PRISONS 0-2 SIMBA SC.
Letโs Goo!!.