YANGA mabingwa news 2025

  • Home
  • YANGA mabingwa news 2025

YANGA mabingwa  news 2025 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from YANGA mabingwa news 2025, Sports Event, .

Klabu ya Young Africans (Yanga) imeendelea kuonyesha jeuri ya fedha na malengo makubwa baada ya kumtambulisha rasmi koch...
10/07/2026

Klabu ya Young Africans (Yanga) imeendelea kuonyesha jeuri ya fedha na malengo makubwa baada ya kumtambulisha rasmi kocha wa kimataifa raia wa Afrika Kusini, Manqoba Mngqithi, kuwa Kocha Mkuu mpya wa kikosi chao. Ujio wa kocha huyo mwenye uzoefu mkubwa na soka la ngazi ya juu barani Afrika unalenga kuendeleza wimbi la mafanikio ya timu hiyo na kuhakikisha wanazidi kutawala soka la ndani na lile la kimataifa.

​Uongozi wa Yanga umedhihirisha kauli mbiu yao ya msimu huu isemayo "Hatucheki na Kima" kwa kushusha fundi huyo ambaye amepata mafanikio makubwa akiwa na miamba ya soka ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini. Mngqithi anakuja Jangwani akiwa na wasifu mkubwa wa kimbinu, hatua inayotafsiriwa k**a mapinduzi makubwa yatakayoongeza ufanisi wa kiufundi kikosini na kuwapa mashabiki burudani ya soka la ushindani wa hali ya juu.

​Kutambulishwa kwa kocha huyo kumeamsha ari mpya na shangwe kubwa kwa mashabiki wa "Timu ya Wananchi" kuelekea msimu mpya wa mashindano nchini na yale ya ukanda wa CAF. Mashabiki na wanachama wa klabu hiyo sasa wanatazamia kuona mwendelezo wa falsafa ya "Daima Mbele, Nyuma Mwiko" ikitekelezwa kwa vitendo uwanjani chini ya usimamizi na mikakati ya mwalimu huyo mpya. mabingwa news

hapa tunaenza mazoezini mech yenyewe ni November 21_22-23 mbeya tumejipanga
06/11/2025

hapa tunaenza mazoezini mech yenyewe ni November 21_22-23 mbeya tumejipanga

FULL HOUSEEEEEESEEESSS
12/09/2025

FULL HOUSEEEEEESEEESSS

Karibu Young Africans SC, Kocha MsaidiziTaarifa zaidi tembelea Yanga SC APP📲
29/07/2025

Karibu Young Africans SC, Kocha Msaidizi

Taarifa zaidi tembelea Yanga SC APP📲


Karibu Young Africans SC Mkurugenzi wa Ufundi, Paul Matthews🔰Taarifa zaidi tembelea Yanga SC APP📲
29/07/2025

Karibu Young Africans SC Mkurugenzi wa Ufundi, Paul Matthews🔰

Taarifa zaidi tembelea Yanga SC APP📲


konte magical
29/07/2025

konte magical

29/07/2025

kouma

𝙂𝙐𝙎𝘼 𝘼𝘾𝙃𝙄𝘼 𝙏𝙒𝙀𝙉𝘿𝙀 𝙆𝙒𝘼𝙊Inahitaji:➡️Sare 1 Ugenini.➡️Ushindi wa goli 3 Kwa Mkapa.NB:Yanga akishinda Ugenini ni Bonasi🤣🤣🤣Ki...
11/01/2025

𝙂𝙐𝙎𝘼 𝘼𝘾𝙃𝙄𝘼 𝙏𝙒𝙀𝙉𝘿𝙀 𝙆𝙒𝘼𝙊
Inahitaji:
➡️Sare 1 Ugenini.
➡️Ushindi wa goli 3 Kwa Mkapa.

NB:Yanga akishinda Ugenini ni Bonasi🤣🤣🤣

Kila la 🇹🇿
🔥🔥💚💛

TUKUTANE ROBO FINAL CAF CHAMPION LEAGUE ELEWA NENO CHAMPION SIO CHUPLI CHUPLI

Timu zote zimeingia kwa kumuheshimu mpinzani wake “Discipline” hakuna space kwenye mistari yote mitatu then timu zote zi...
19/10/2024

Timu zote zimeingia kwa kumuheshimu mpinzani wake “Discipline” hakuna space kwenye mistari yote mitatu then timu zote zinashambulia kwa kushtukiza (Transition) . Simba walichagua mpira mirefu kuunda mashambulizi : Lakini walinzi wa Yanga walicheza wao wa kwanza .

Yanga na pasi fupi fupi pale wakipora mipira tena wanakuwa na uharaka wa maamuzi (Pass za Mwisho na Maamuzi yao hayakuwa sahihi ❌)

Kuna Battle ya Kibu na Boka 🔥 then Aziz na Debora alafu Bacca na Ateba ✅ !.. Save ya Diarra Vs Ateba then Save ya Camara Vs Aziz Ki 🔥 imefanya game kuwa dume mpaka sasa !.

Kila la kheri Taifa Stars katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 leo dhidi ya DR Congo🇹🇿💪🏽
10/10/2024

Kila la kheri Taifa Stars katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 leo dhidi ya DR Congo🇹🇿💪🏽


Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when YANGA mabingwa news 2025 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Want your business to be the top-listed Event/venue?

Share