10/05/2026
Kwa mara ya kwanza Leo imeshuhudiwa Fainali iliyo Isha kabla ya dakika kukamilika , matokeo yakiwa 1-1 lakini mshindi kapatikana bado hatutajua mshindi kashinda Kwa vigezo gani akati live score ilikua inasoma 1-1 ,π€
kipindi chapili zimechezwa dakika takriban10 tu ,,, kabla ya kutokea vurugu Kwa upande wa mashabiki zilizo Fanya mchezo kusimama na waamuzi kumaliza mchezo kabisa , chakushangaza ni kwamba ubingwa kapewa mpinzani KANYONZA QUEENS π₯Ί
Tuseme tu Mapenzi na mipango ya nje ya uwanja imetuharibia Fainali yetu , kweli mcheza kwao hutunzwa ...
Tutajipanga Kwa wakati mwingine , Akhsanteni Wadau na mashabiki wasoka mliotupatia sapoti yenu mpaka hapa tulipo fikia πππͺ