31/08/2022
Burna Boy🇳🇬 : Haya Ndio mambo waandaji wa tamasha wanapaswa kukamilisha ili Burna Boy akubali kutumbwiza kwenye tamasha 😱😱😱😱
Kwa mujibu wa gazeti la The Nation: yafuatayo Ndio mambo ambayo Burna Boy anahitaji ili atoe burudani kwenye tamasha
Burna Boy ili atumbwize huwa analipwa dola laki 5 ( 500,000$) kabla kwanza yakutumbwiza
Lakini sasa lazima wakamilishe haya yafuatayo 👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Lazima waandaaji wa tamasha hilo walipe tiketi ya ndege binafsi( private jet) yenye sit 13 ili kukamilisha usafiri wake
Baada ya hapo, lazima kutakuwepo msafara wa gari 5, bus kubwa ambalo litafanyakazi siku nzima .
Burna boy anapaswa kulala kwenye Hotel ya kifahari yenye gorofa kuanzia 4,5 Na hapo sasa lazima Apewe kile chumba cha kifahari kuliko vingine lazima pawepo chumba maalumu cha kuvutia ( sigara....) Na vyumba vingine viwili ambavyo Bado hawajataja kazi yake maalumu Na vyumba vingine Sita vilivyomo vioo vikubwa Kwa ajili ya Watu wake Yaani hapo kwa jumla anahitaji vyumba 10 .
Kunahitajika pia sebule kubwa ambayo yeye Na watu wake watapiga story Na liwe eneo la kuvuta ( sigara,...) .
🔴Kuhusu Chakula
Vyumba vyote 10 kunapaswa kuwepo chakula ambapo lazima wahudumiwe chakula Asubuhi mchana Na jioni lakini pia chakula lazima kiwe cha kifahari ”.
Bado hatujamaliza mdau wetu wa Tujuze, tukiendelea Na Gazeti hilo linataja kua lazima kuwepo chupa 12 za maji , Ginger ales 8, Sprites 6, chupa kubwa 6 za Pepsi Soda, mzabibu , chupa tatu za Champagne 🍾 , chips la Hennessy XO, Whisky Jack Daniels Na vingine ambavyo hawakutaka kuweka wazi lakini pia lazima kuwepo aina yote ya matunda 🍌, 🍉 , 🥭, 🍍,......
Lazima vitamba vyote viwe Na rangi nyeusi. Lazima pawepo towel (vitamba) 6 vyenye rangi nyeusi Kwa kuvutia jasho usoni mwake, Na 4 vyakutumia chooni lazima hivyo viwepo kabisa Kwa ajili ya Staaa mkubwa Burna Boy
👉Je Unafikiri yupo sahihi?