26/12/2024
AMEANDIKA FARHAN KIHAM ✍️⤵️
Hawa Yanga wana mpango gani, mbona ghafla sana? Ni ghafla tu unamwona Pacome katikati ya Dickson Job na Ibrahim Hamad, ni ghafla tu unamwona Kibwana k**a Winger halafu Khalid Aucho yupo nafasi ya Kibabage na Kibabage yupo juu k**a Winger, ghafla tu Aziz yupo Area 14 na humwoni Mzize yupo wapi? Ghafla tu hujui Prince Dube anatokea wapi, ghafla unahisi k**a Yanga wapo wengi uwanjani, mbona ghafla sana😀
Wananchi kuwasema kidogo tu mnaleta tabia za Wamakonde? Yaani wanakuuzia kiwanja ila korosho zikikomaa wanakuja kuvuna wao😀