11/05/2026
Mdau DM: “Milioni 10 Bora Zingetumika kwa Watoto Yatima!”
Mfanyabiashara na mwanachama wa Club ya YANGA SC, Jennifer Jovin, maarufu k**a NIFFER, ameichangia Shilingi Milioni 1 kwa ajili ya kulipa faini ya Shilingi Milioni 30 iliyotolewa na Bodi ya Ligi, kutokana na kosa la kutotumia vyumba rasmi vya kubadilishia nguo siku ya Kariakoo Derby dhidi ya Mej Isamuyo.
Hata hivyo, baadhi ya wadau wamesema kwamba bora hiyo milioni moja Niffer angeitumia kuwasaidia watoto yatima, kuwa pesa hizo zingekuwa na manufaa makubwa zaidi kwa jamii.
Je, unakubaliana na maoni ya mdau huyu?