12/06/2025
*Shamba la Ekari 330 linauzwa Mkuranga, Mkanoge*
*Distance* Kutoka Mbagala rangi tatu mpaka njia ya kuingia shambani (Ngonja -Kimanzichana) ni 90 km Kilwa road na Kutoka main road (lami) mpaka unaingia ndani 17km
*Location* Maeneo ya Industrial Area
*Neighborhood* Shamba la Mzungu *(Ekari 1,200)* amepanda makadamia na mashamba mengine ya watu binafsi
*Matumizi* Agro Farm
*Vitu vilivyomo kwenye Shamba*
*Miti yote ni High Breed*
-Ndani ya Shamba kuna Teak Wood 12,500 x 800, 000 = 10 billion. *(Inavunwa baada ya miaka 10 kutoka sasa)*
-Mti wa Mkaratusi 15,000 x 150,000 = 2.25 Billion *(Inavunwa 2030)*
-Mti Kunuka (mbao nyekundu) 2,000 x 500,000 = 1 Billion *(Inavunwa miaka 8 kutoka sasa)*
-Miti ya Mchikichi (Mawese) 250
-Miti ya Mikorosho 6,000
-Minazi 1,200
-Miembe ya Kisasa 2,500
-Mindimu 1,200
-Godown Sqm 600
*Nyumba 3 za wafanyakazi*
*Nyumba 1* ina vyumba 4 na sitting room, jiko na public toilet.
*Nyumba 2* Ina vyumba viwili 2 vya kulala, sitting room, kitchen na public toilet
*Nyumba 3* Stoo ya kuhifadhia mashine na Generator
-Mabwawa ya Samaki 7
-Banda la Mbuzi
-Banda la Ng'ombe (40)
-Visima viwili vyenye urefu wa meter 130
-Minara 8 ya kuweka tank za umwagiliaji.
-Plot yenye Ekari 200 ina Hati miliki
-Plot yenye Ekari 130 imeshapandwa mawe (Surveyed)
*Umeme* umeshafika Nyamato upo umbali wa 7km mpaka kuingia shambani.
*Bei shilingi Bilioni 2.5 mazungumzo yapo*
*NOTE* Jirani Kuna nafasi ya kuongeza Ekari 2,000
Yus