04/05/2026
๐๐โKikao cha Dharura: Sio Arsenal Pekee!โ
โZamani ilikuwa ukiona wachezaji wa Arsenal wamejikusanya duara k**a wanafanya ibada ya siri, ujue mambo yameenda kombo. Mashabiki
โ
โ walishazoeaโโah hawa tena wanajipa moyo baada ya kichapo.โ
โLakini ghafla leo, tunawaona na majirani zao Manchester City nao wameingia kwenye ile ile โmode ya duara la huzuni.โ Sasa swali linabaki: nani kamfundisha nani? ๐ค
โ
โCity walikuwa wanatufundisha mpira wa sayansi, pasi za calculator, sasa wameanza kozi ya โkukaa chini na kujifariji baada ya presha.โ Hii si ile timu ya kuogopwa, hii ni timu ya kukaa kikao k**a wanafunzi waliokosa swali la bonus!
โ
โInaonekana presha ya ligi imeamua kuwa sawa kwa woteโleo ni wewe, kesho ni mimi. Tofauti ni kwamba Arsenal walikuwa wanalia kimya kimya, City wao wanalia huku wakishangaa โhii imekuwaje?โ ๐
โ
โMwisho wa siku mpira una mambo yakeโฆ lakini ukweli mchungu ni huu:
โUkiona duara limeanza, ujue kichapo kiko karibu au kimeshapita! ๐ญ๐ฅ
Eric Jege