04/04/2023
Kwenye Ku pekuwa mambo yetu POA poa tume kutana na Mr Champagne mwenye Aki Posté iyo picha naku sema Siyo yeye kwanza na Izo nguo ahana nazo Jamani!!! Minataka kumu leteya Mcongo Burundi wa watu ugonvi na Makonde!? Daah!!!
ila Mr Champagne na wewe ni muoga sana una tishika na Nini ijapo Konde Alisha achana na Kajala na tunavio juwa kwa sasa wewe ndo una Miliki iyo Shepu!?🤣🤣🤣🤣 ila Siyo poa Ku Édit vitu